Uharibifu wa Reli nchini Kenya
4th June, 2012
Usafiri wa magarimoshi nchini Kenya sasa unatishwa kungamizwa na sakata ambayo imechipuka ya watu kupokea shilingi milioni saba kila mwezi kwa kung'oa, kukata na kuuza reli au vyuma vyake. Japo mwanahabari John Juma anajaribu kufichua uozo huo, maswali mengi kuhusu wahusika ni kina nani na hatua zinazochukuliwa kudhibiti hali hiyo yangali yamegubikwa na giza totoro.