APK yasaka mwenyekiti
26th May, 2012
Chama cha Alliance Party of Kenya, maarufu kama mbasi, bado kinamsaka dereva, baada ya vigogo wa kisiasa wakuu waliokuwa wakihusishwa na muungano huo kuonekana kuupa kisogo. Katika uzinduzi wa leo, uhuru kenyata,kalonzo musyoka na george saitoti hawakuwepo, lakini mwenyekiti wa APK, Kiraitu Murungi anasema bado wako ndani ya mbasi, swali kuu hapa mbona hawakuhuduria? Uzinduzi huo ulihudhuriwa na wabunge 10, pekee.