Kenya: EPZ kutenga maeneo ya viwanda
23rd May, 2012
Serikali imetangaza kubuniwa kwa maeneo maalum katika miji ya Lamu, Mombasa na Kisumu yatakayotumika kama maeneo ya viwanda vya bidhaa za kusafirishwa nje. Haya yalitangazwa katika warsha iliyowaleta pamoja wawakilishi kutoka barani Afrika, pasifiki na visiwa vya Carribean. Lengo kuu ikiwa ni kujadili maeneo yatakayotumika kama vitega uchumi katika mataifa husika. Esther kahumbi na taarifa hiyo.