×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kovu za stahamala - Mlima Elgon sehemu ya kwanza

24th April, 2012

Tumenyanyaswa, tumedhalilishwa na kupokonywa mashamba yetu. Ndio semi za akina mama kutoka Mlima Elgon. Wakiwa wameachwa wajane baada ya waume wao kuuliwa na kundi la vijana la Sabaot Land Defence force,kovu zingali zinatona. na kama anavyotuelezea mwanahabari Saida Swaleh,wakaazi wa eneo la Mlima Elgon bado wana fikra tele kwenye sehemu ya kwanza ya Kovu za stahamala - Mlima Elgon.
.
RELATED VIDEOS