25th April, 2012
Madhila waliofanyiwa wakaazi wa mlima Elgon ni moja tu ya sababu za kovu walizoachwa nazo. Vidonda ndugu vikiwa vile vya kukosa vipande vya mashamba. Lakini kundi hili la Sabaot Land Defence Force lilibuniwa vipi na wafadhili walikuwa nani? Wanahabari walioshiriki katika kutoa habari kutoka mlima Elgon wana yepi ya kusema? Mwanahabari Saida Swaleh anatuelezea katika sehemu ya pili na ya mwisho ya kovu za stahamala- mlima elgon