Msako mkali umeanzishwa kote nchini dhidi ya majambazi sita waliovalia sare ya polisi na kupora kampuni ya Wells Fargo Sh36m. Pesa hizo zilizonuiwa kusafirishwa hadi garissa ziliambulia mikononi mwa majambazi hao katika operesheni iliyopangwa kisasa katika maeneo ya Juja. Mohammed Ali anatuarifu zaidi.