Health Workers Strike
6th March, 2012
Haturudi kwenye majukumu yetu hadi pale, masilahi yetu yatakapozingatiwa
na serikali. Hii ni kulingana na matamshi ya wauguzi humu nchini ambao
wamepinga juhudi za serikali kuwaregesha kazini hadi pale nyongeza ya
mishahara yao pamoja na marupurupu yao yatazingatiwa. Mwana habari saida
swaleh na taarifa hiyo.