John Michuki legacy
15th February, 2012
Akilinganishwa na mawaziri wengine serikalini john michuki alikuwa mwenye sifa za kipekee na zilizompa umaarufu mkubwa.kulingana na wengi hali hiyo ilitokana na ukakamavu wake katika utendakazi hasa alipokuwa waziri wa uchukuzi, aliporejesha nidhamu katika sekta ya matatu. ingawa aliibua hisia na shutma mbali mbali katika wizara ya usalama alipolikabili kundi haramu la mungiki- wengi wanakubali kila wizara michuki aliingia kulikuwa na mabadiliko.