×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

HADUBINI: Biashara ya Ulanguzi wa Binadamu yanawiri kutokana na kuzuka kwa virusi vya Covid-19

1st August, 2021

Mwaka mmoja baada ya Ktn News kuangazia madhila ya wasichana wa Karamajong katika eneo la Eastleigh hapa jijini Nairobi, wahanga hao wa ulanguzi wa binadamu wanaendelea kuhangaika. Kulingana na ripoti ya shirika la haki za watoto Afrika Mashariki (EACRN), wasichana takriban elfu tatu wako katika eneo la Eastleigh pekee. Kuzuka kwa virusi vya Covid-19 kumechangia pakubwa katika kunawiri kwa biashara ya ulanguzi wa binadamu. Anavyoarifu mwanahabari wetu Sirajurahman Abdullahi katika makala maalum ya Hadubini, wasichana hao bado wanalala nje huku wengi wao wakiripotiwa kunajisiwa, kupachikwa mimba na hata kujifungua barabarani.

.
RELATED VIDEOS