Timu ya Technical University ndio mabingwa wa mwaka huu wa kombe la Sportpesa
30th August, 2015
Timu ya Technical University ndio mabingwa wa mwaka huu wa kombe la Sportpesa Super 8. Hii ni baada ya kuililaza kiambiu kutoka eneo la Kamkunji mabao 4-2 kwenye fainali ya mashindano hayo iliyochezwa katika uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi.