×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji wa Gatundu watatizwa na uvundo kutoka kwenye chumba cha kuifadhia mahiti

7th February, 2015

Wakazi wa mji wa Gatundu ulioko Kaunti ya Kiambu wamelalamikia uvundo mkali unaotoka kwenye hifadhi ya maiti ya hospitali ya wilaya ya Gatundu. Aidha, wasimamizi wa hospitali hiyo wanasema uvundo huo mara nyingi hutokana na maiti inayoletwa kwenye hifadhi hiyo na polisi ikiwa imeharibika. Wameongeza kuwa hifadhi hiyo haiwezi kuweka maiti zaidi ya kumi na nne.
.
RELATED VIDEOS