×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Msalaba Mwekundu kurejeshewa bajeti ya shilingi milioni 100

Serikali ya Kenya Kwanza imeahidi kurejesha bajeti ya Shirika la Msalaba Mwekundu kama ilivyokuwa miaka ya awali ili kufanikisha shughuli zake nchini.

Kutokana na hilo, Rais William Ruto sasa ameahidi kulitengea shirika hilo kima cha shilingi milioni mia moja 100 katika bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2023/2024.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in