×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

DCI kuchunguza sakata ya ulaghai wa mpango wa masomo, Uasn Gishu

News

Idara ya Upelelezi DCI imeanzisha uchunguzi kufuatia madai ya ulaghai wa mpango wa masomo kwa wanafunzi kutoka Kaunti ya Uasin Gishu waliofaa kusomea nchini Finland na Canada.

Katika taarifa yake jioni hii DCI imesema hatua hiyo inafuatia malalamiko  kutoka kwa wakazi wanaodai kulaghaiwa  mamilioni ya pesa wakiahidiwa kuwa wanao wangefadhiliwa kusomea nchini humo.

Maafisa wa DCI wanatarajiwa kuelekea Uasin Gishu kati ya Julai 18 hadi tarehe 21 kuendeleza uchunguzi zaidi.

Waathiriwa wote wameshauriwa kujiwasilisha katika makao makuu ya DCI mjini Eldoret kurekodi taarifa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week