Bongo star Diamond Platnumz is pursuing a collabo with Rihanna. The singer, who is currently in UK to promote his EP First of All (FOA), said he has already reached out to Rihanna’s camp and she may feature in his next album.
"Ningependa kufanya kazi na Rihanna nahisi itakuwa ni ngoma kali sana, kama sio kwenye album hii basi album yangu inayofuata, tumeshaongea na Rihanna na timu yake na kila kitu kipo sawa, kwa mambo yanayoendelea kwa Rihanna sasa, inaweza ikafanya akawepo kwenye album hii au ijayo