×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Chemsha bongo: Ufisadi watumaliza jamani!

Ufisadi watumaliza Picha: Hisani

Mnamo Jumanne wiki hii nikiwa mtaa wa Mwiki, eneo la Kasarani, nilishuhudia kisa ambacho kingali kunipiga moyo hadi sasa.

Nilikuwa nimekwenda eneo hilo kuwanasa wanafunzi na walimu wao kuhusu maandalizi ya mitihani ya taifa.
Aidha, nilitaka pia kujua ni kwa vipi walivyo na imani na timu mpya iliyochukua uongozi wa Baraza la Taifa la Mitihani Nchini kutokana na uozo wa wizi wa mitihani mwaka jana ulijitokeza katika afisi iliyokuwepo KNEC.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in