×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Gavana Mutua aangua kilio duni cha mtu mzima

Gavana Machakos Alfred Mutua atoa ripoti kwa polisi kufuatia tishio alilopata kutoka kwa Naibu Rais William Ruto akiwa katika kituo cha polisi cha Kilimani, Nairobi.

Leo hii kama kweli baraza la wazee wa jamii ya Wakamba wangelitambua dosari lililosababishwa na gavana wa Machakos, Alfred Mutua kwa wanaume chungu nzima wa Kenya na barani Afrika, yamkini wangeitisha kikao cha dharura kumpa kisomo gavana huyu.

Kisomo cha kwanza ni kumuonya wazi kwamba ni mtoto peke yake ambaye anaweza kulalamika kunyanyaswa na mtoto mwenzake lakini siyo jibaba lenye cheo cha ugavana kama yeye, kulalamikia juu ya mwanaume ama wanaume wenzake.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in