×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

Kieleweke, Tanga Tanga ni mbolea ya ufisadi

Mbunge wa Jubilee Maina Kamanda akiongea katika kanisa la Katoliki eno la Ol Jaoro Rok Catholic church na Mbunge wa Kapseret MP Oscar Sudi ambaye ni mfuasi sugu wa Naibu Rais William Ruto na timu ya Tanga Tanga.

Yalianza kama makundi yenye misimamo kinzani ya kisiasa nchini, lakini kadri muda ulivyosonga, siku zika pita, Kieleweke na Tanga Tanga yakaibukia kuwa makundi mawili ya kisiasa tajika yaliyo kita mizizi katika ulingo wa kisiasa huku kila upande ukijitahidi kunadi sera zake ili kuwashawishi wananchi kuwaunga mkono.

Mwaka uliopita baada Rais Uhuru Kenyatta na aliye kuwa waziri mkuu Raila Odinga kukubaliana kufanya kazi kwa pamoja maarufu kama ‘Handisheki’ mirengo miwili ya kisiasa ikabuniwa.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in