Ni Mzee wa Kaya za kimijikenda zaidi ya 30 mkoani pwani na mwanasiasa mkongwe aliyekutana na maraisi na vigogo nchini tangu 1950. Aliwahi kuteuliwa kama diwani maalum Kwale enzi za raisi mstaafu Mwai Kibaki.
Ni mwana wa Mzee Ali Mnyenze aliyekuwa na mabibi wa nne, ambapo mamake Abdallah Mnyenze, Asha Binti Salim Mrandani alikuwa mke wa tatu.