The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wazee wa Wanga wakihurubia wanahabari katika hafla iliyopita. [Picha: Standard]
Seneta wa Kakamega mheshimiwa Cleophas Malala amekumbana na wakati mgumu baada ya kukabiliwa na Baraza la Wazee wa Wanga maarufu kwa kimombo kama (Wanga Council of Elders) wakimkana peupe na mchana kwamba siyo mmoja wa familia yao. Wakiongozwa na kinara wao, Peter Nabongo wanadai kwamba seneta Malala kamwe hafai kujumuishwa pamoja na tadi na inda za jamii ya Waluhyia wakisema kwamba hapaswi kuorodheshwa katika mipango ya ndani ya kijamii kwa kuwa yeye ni wa kutoka kwa jami ya Luo.
Wanasema kulelewa kwake Kakamega hakuwezi kumfanya afure kichwa kiasi cha kujidai kuwa ni mmoja wao kikamilifu. Kwao ni kiongozi wa siasa kama mwakilishi wa bunge la seneti lakini hana nafasi ya kushirikishwa kikamilifu kijamii. Nabongo alimtaka Cleophas kujitenga na maswala yanayo husiana na jamii ya Luhya maana kwamba babake Malala alikuwa mgeni wa jamii hiyo wakati alipokelewa na kupewa hifadhi kama mgeni wa kwenda kabla ya kupata mke (mamake Malala) na kuanza kujenga famila na kusahau kurejea kwao Nyanza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.