×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Msichojua kati ya Joho na Aisha

Gavana Joho na Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa. 

Wengi juzi walishangaa na kupigwa na butwaa kuwaona wanasiasa wawili mashuhuri wa pwani, Gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho na mbunge wa Malindi anayeng’ong’ongwa na chama cha ODM Aisha Jumwa wakikumbatiana kama pwagu na pwaguzi mjini Malindi wakiduwaa kama kweli kunao uhasama wa kisiasa baina yao.

Wafuasi wa pande zote mbili, wanaoshinikiza Jumwa kusukumwa pembeni na wale wanamtetea kwamba anaonewa na chama hawafahamu kwamba wanasiasa wote ni sungura wajanja wakitegemea msemo mmoja kwamba katika siasa hamna hadui ama rafiki wa kudumu.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in