×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Vitendo vya Duale vinaisaliti serikali ya Jubilee

Je, ni nani anayesema ukweli hapa? Je, ni nani wa kusingiziwa hapa? Je, ni yupi aliyetoa ahadi za uongo jukwaani? Haya ni baadhi ya maswali ambayo Wakenya wengi wanazidi kujiuliza.

Hatua aliyoichukuwa kiongozi wa walio wengi bungeni Aden Duale kudinda kutoa orodha ya wafadhili wa ugaidi ni pigo kuu kwa waliopoteza wapendwa wao katika mashambulizi ya kigaidi. Tukio hili limewaacha wengi vinywa wazi baada ya Duale kubadili msimamo wake wa awali.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in