Moi New Year message

Wannabes

Aliyekuwa rais mstaafu Daniel Arap Moi amewasihi viongozi kuendesha shughuli zao za kisiasa kwa uangalifu mkuu tunapoanza mwaka wa uchaguzi mwaka wa 2012 , alikuwa akizungumza katika kongamano la vijana huko Rongai kaunti ya Nakuru ,Moi amewasihi viongozi wa kisiasa kujihusisha na maombi wakati wanapotafuta kufanya maamuzi muhimu wakati wa uchaguzi wa mwaka huu Vile vile amewatakia wakenya mwaka wenye amani na fanaka tele

By Titus Too 1 day ago
Business
NCPB sets in motion plans to compensate farmers for fake fertiliser
Business
Premium Firm linked to fake fertiliser calls for arrest of Linturi, NCPB boss
Enterprise
Premium Scented success: Passion for cologne birthed my venture
Business
Governors reject revenue Bill, demand Sh439.5 billion allocation