×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Moi New Year message

Aliyekuwa rais mstaafu Daniel Arap Moi amewasihi viongozi kuendesha shughuli zao za kisiasa kwa uangalifu mkuu tunapoanza mwaka wa uchaguzi mwaka wa 2012 , alikuwa akizungumza katika kongamano la vijana huko Rongai kaunti ya Nakuru ,Moi amewasihi viongozi wa kisiasa kujihusisha na maombi wakati wanapotafuta kufanya maamuzi muhimu wakati wa uchaguzi wa mwaka huu Vile vile amewatakia wakenya mwaka wenye amani na fanaka tele

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Moi New Year message