The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kuimarika kwa shughuli za utalii humu nchini katika miezi ijayo, kutategemea pakubwa jinsi kura ya maamuzi kuhusu katiba iliyopendekezwa itakavyotekelezwa. akiwahutubia wadau katika sekta hiyo, katibu mkuu katika wizara ya utalii nchini, Eunice Miima, amekariri kuwa ni sharti shughuli hiyo itekelezwe kwa amani la sivyo watalii wanaonuia kuzuru nchi hii watabadili nia.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…