×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Faida ya kiroho, kijamii na kimaadili katika Ramadhani

Waumini wa kiislamu waswali wakiadhimisha Ramadhani. [Picha: Pambazuko]

Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema zote kubwa na ndogo.Asalam aleikum warahmatullahi taala wabarakatu.Saum Kareem..saum maqbul! Tukiwa ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhan hatuna budi kutowa shukurani zetu kwa Allah Jallah Jallallu kutuwezesha kuona siku ya leo. Ni wengi walioazimia kuwa katika funga hii ya saumu iliyo na faida sufufu lakini hawakuweza kwani wameenda mbele ya haki.

Mimi na wewe tuna bahati kuwa twapumuwa hewa ya Allah Azzah Wajallah kupata fursa hii adimu kuweza kuvuna mengi yaliyo katika mwezi huu unaokuja mara moja kwa mwaka. Funga ama saumu hii ya mwezi wa Ramadhani imezungukwa na neema za kila aina. Neema hizi ziko katika nukta za kijamii, kiroho, kiuchumi na kimaadili na pia kiafya.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902