The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Tume ya Uchaguzi nchini IEBC imesisitiza kwamba haiwezi kubadili orodha ya watu walioteuliwa na vyama mbalimbali kujaza nafasi za wawakilishi wadi na wabunge maalum katika Bunge la Kitaifa na Seneti.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati uteuzi huo uliofanywa kwa mujibu wa sheria ambapo vyama vyote viliwasilisha majina kwa IEBC kabla ya uchaguzi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…