Wakenya hasa katika mitandao ya Jamii wamegadhabishwa na hatua ya Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, KNH ,kukana kwamba ilimletelekeza kwa muda wa saa kumi na nane mwandishi mahiri, mwanahabari na mhakiki wa lugha ya Kiswahili Profesa Ken Wabora Waliuala na hivyo basi kusababisha kifo chake.
Baadhi ya hisia zilizotolewa katika mitandao ya kijamii ni kuwa hospitali hiyo inajitetea baada ya kulaumiwa kwa kifo cha Walibora.