×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Hospitali ya Kenyatta yapinga kumtelekeza Prof Walibora

Wakenya hasa katika mitandao ya Jamii wamegadhabishwa na hatua ya Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, KNH ,kukana kwamba ilimletelekeza kwa muda wa saa kumi na nane mwandishi mahiri, mwanahabari na mhakiki wa lugha ya Kiswahili Profesa Ken Wabora Waliuala na hivyo basi kusababisha kifo chake.

Baadhi ya hisia zilizotolewa katika mitandao ya kijamii ni kuwa hospitali hiyo inajitetea baada ya kulaumiwa kwa kifo cha Walibora.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in