×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanaume akamatwa baada ya kummwagilia mwenzake asidi

Maafisa wa polisi wa Machakos mjini wamemkamata mwanaume mmoja ambaye amemjeruhi mwenzake wa umri wa makamo kwa kummwagilia asidi kwenye sehemu zake za siri kufuatia tofauti baina yao walipokuwa wakivinjari, katika soko la Kathome lililo kijiji cha Kalama, Kaunti ya Machakos.

Mwanamume huyo anaendelea kutibiwa katika hospitali ya Machakos level 5 anaeleza alikuwa katika baa moja akiwa na wenzake na wakati wa kuondoka ndipo mvutano ukaanza  kisha mshukiwa akamwangusha na akammwagilia asidi hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

machakos county