×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Kenya imechukua mkopo mwingine wa Bondi ya Yuro wa Shilingi Bilioni 210

Kiwango cha mkopo nchini kinatarajiwa kuongezeka baada ya Kenya kuchukua mkopo mwingine wa Bondi ya Yuro wa Shilingi Bilioni 210.

Shilingi bilioni 75 zitatumika kulipia bondi ya awali ambayo inatarajiwakulipiwa kufikia tarehe 24 mwezi Juni huku zilizosalia zikitarajiwa kupiga jeki miradi kadhaa ya ajenda nne kuu za serikali.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in