Kiwango cha mkopo nchini kinatarajiwa kuongezeka baada ya Kenya kuchukua mkopo mwingine wa Bondi ya Yuro wa Shilingi Bilioni 210.
Shilingi bilioni 75 zitatumika kulipia bondi ya awali ambayo inatarajiwakulipiwa kufikia tarehe 24 mwezi Juni huku zilizosalia zikitarajiwa kupiga jeki miradi kadhaa ya ajenda nne kuu za serikali.