The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta amewaongoza wakenya katika kumpongeza mwalimu Peter Tabichi Mokaya mwenye umri wa miaka 36 kwa kushinda tuzo ya mwalimu bora duniani tuzo inayofadhiliwa na Wakfu wa Varkey.
Tabichi ambaye ni mwalimu wa Kemia na Hisabati vilevile mtawa wa Kiume katika Kanisa Katoliki amejishindia shilingi milioni 100kufuatia juhudi zake za kutumia raslimali finyu ukiwamo asilimia 80 ya mshahara wake ili kuwanufaisha wanafunzi katika Shule ya Keriko kwenye Kaunti ya Nakuru vilevile wakazi.
Peter Tabichi Mokaya ametangazwa mshindi katika hafla ilioyofanyika katika mji wa Dubai.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.