×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakenya waendelea kumpongeza Mwalimu aliyetuzwa shilingi milioni 100

Rais Uhuru Kenyatta amewaongoza wakenya katika kumpongeza mwalimu Peter Tabichi Mokaya mwenye umri wa miaka 36 kwa kushinda tuzo ya mwalimu bora duniani tuzo inayofadhiliwa na Wakfu wa Varkey.

Tabichi ambaye ni mwalimu wa Kemia na Hisabati vilevile mtawa wa Kiume katika Kanisa Katoliki amejishindia shilingi milioni 100kufuatia juhudi zake  za kutumia raslimali finyu ukiwamo asilimia 80 ya mshahara wake ili kuwanufaisha wanafunzi katika Shule ya Keriko kwenye Kaunti ya Nakuru vilevile wakazi.

Peter Tabichi Mokaya ametangazwa mshindi katika hafla ilioyofanyika katika mji wa Dubai.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics