×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Njoki Ndung'u aiandikia DCI kufuatia madai ya ufisadi

Jaji wa Mahakama ya Juu, Njoki Ndung'u ameiandikia Idara ya Upelelezi, DCI akiitaka kuanzisha uchunguzi dhidi yake na majaji wengine katika mahakama hiyo kufuatia madai ya ufisadi.

Kwenye barua hiyo, Jaji Ndung'u amesema madai yanayoibuliwa ni yenye uzito na yanapaswa kuchunguzwa ili kubaini ukweli.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics