×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Madaktari 250 kugoma Kisumu

Madaktari wanaohudumu katika Kaunti ya Kisumu sasa wametisha kugoma kuanzia saa sita leo usiku  baada ya serikali ya kaunti hiyo kupuuza  notisi yao ya mgomo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari KMPDU tawi la Nyanza, Kevin Osuri, serikali ya kaunti hiyo imekataa kuwasikiliza wanapolalamikia kutotekelezwa kwa baadhi ya vipengele vya makubaliano ya kurejea kazini ya mwaka 2017.

Miongoni mwa masuala hayo ni ulipaji mishahara  ambapo baadhi wanadai hawajalipwa kwa takribana miezi mitatu. Vilevile wanataka waruhusiwe kuchukua likizo za masomo kadhalika kuhakikisha matozo ya mishahara yao inawasilishwa kwa idara zinazohusika.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in