×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

William Ruto azitaja kuwa ufisadi, siasa zinazoendelezwa.

Naibu wa Rais, William Ruto amezitaja kuwa  ufisadi, siasa zinazoendelezwa kwa misingi ya kukabili jinamizi hili. Akihutubu wakati wa halfa moja kwenye Kaunti ya Mombasa, Ruto amesema licha ya serikali kuwekeza kwa idara zilizojukumiwa kukabili ufisadi, kuna watu walio na njama fiche ambao wanalenga kuzitumia idara hizo kwa manufaa binafsi.

Siku chache zilizopita Ruto alimshtumu Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi, DCI George Kinoti kwa madai ya kutumiwa kisiasa katika njama ya kutatiza miradi ya maendeleo ya serikali kwa kisingizio cha kukabili ufisadi japo Kinoti amesisitiza kuwa ofisi yake haitatishwa na  yeyote katika kutekeleza majukumu yake.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

William Ruto