×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

''Caroline Mwatha alifariki alipojaribu kuavya mimba'' imesema ripoti ya upasuaji

Mwanaharakati Caroline Mwatha alifariki baada ya kutokwa damu kupita kiasi alipojaribu kuavya mimba. Daktari Peter Muriuki Ndegwa aliyeiwakilisha familia yake, amesema marehemu Caoline alikuwa na ujauzito wa kati ya miezi mitano na sita. Upasuaji uliofanyiwa mwili wake katika Hifadhi ya Maiti ya Umash , Nairobi umethibitisha hilo na kubainisha kuwa kijusi cha kiume kilikuwa bado kwenye uterasi. Pia uterasi wenyewe uliharibiwa vibaya, na kusababisha damu nyingi kuingia kwenye tumbo. Aidha mpasuaji huyo alisema kichwa cha kijusi hicho kilikuwa kimejeruhiwa kidogo, na mwili wake ulikuwa rangi ya kijivu, ishara ya kupoteza damu nyingi.

Wakati uo huo, dakatari Ndegwa amesema Marehemu hakuwa na majeraha yoyote ila yale ya sindano hivyo kufutilia mbali madai kuwa huenda alidhulumiwa kabla ya kifo chake. Ndegwa alisema uchunguzi zaidi utafanywa ili kubaini dawa iliyotumika kufanikisha shughuli hiyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Caroline Mwatha