×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Obado akana kuhusika katika mauaji ya Sharon Otieno

Gavana wa Migori, Okoth Obado amejitokeza hadharani leo hii kwa mara ya kwanza kukana kuhusika katika mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo, Sharon Otieno. Akiwahutubia wanahabari jijini Nairobi akiwa ameandamana na mkewe, wanawe wawili na maafisa wengine wa Kaunti ya Migori, Obado amesema kwamba kuhusishwa na kisa hicho kumeisababishia mahangaiko makuu familia yake.

Obado ametoa wito kwa maafisa wa usalama wanaochunguza mauaji ya Sharon kuharakisha uchunguzi ili wahusika wakuu wakabiliwe kwa mujibu wa sheria.  

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Obado Sharon