Na Mike Nyagwoka/Chrispen Sechere
Kwa mara nyingine maafisa watano waliokuwa wafanyakazi wa serikali ya Kaunti ya Bungoma wamefikishwa katika Mahakama ya Kakamega ambako wameshtakiwa kwa tuhuma za ufisadi kuhusu ununuaji wa bero tisa, yaani wheelbarrows mwaka wa 2014.