Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Tobiko apata idhini kuendeleza mashtaka dhidi ya washukiwa wa ufujaji fedha za NYS

Washukiwa 11 wanaohusishwa na ufujaji wa shilingi milioni 791 kupitia miradi ya Taasisi ya Taifa ya Huduma za Vijana, NYS wamepata pigo mapema leo baada ya Mahakama Kuu kupinga ombi lao la kutaka kumzuia Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Keriako Tobiko kuwafungulia mashtaka ya ufujaji.
Miongoni mwa washukiwa hao ni mfanyabiashara Ben Gethi, mamaye Charity Wangui, Josephine Kabura na wakili Patrick Ogolla.
Watuhumiwa hao walimtaka Jaji Joseph Onguto kutoa agizo la kutofunguliwa mashtaka kwa misingi kwamba hakuna ushahidi wa kuthibitisha kwamba walihusika na ufujaji. Onguto hata hivyo amesema Tobiko hakukiuka sheria kwa kuagiza kuushtakiwa kwao.
Washukiwa wamekuwa kwa kipindi kirefu wakipinga kufunguliwa mashtaka suala lililosababisha kutoitikia mashtaka katika Mahakama ya Milimani.
Tobiko alipendekeza wathumiwa hao kumi na mmoja kufunguliwa mashtaka hayo ya ufujaji mnano mwezi Februari mwaka huu.

Na, Sulleiman Yeri

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics