The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na Mate Tongola NAIROBI, KENYA, Viongozi wa Muungano wa Madaktari, KMPDU wamepewa kipindi cha wiki mbili kukamilisha mazungumzoo na wanachama wake kuhusu kusitishwa kwa mgomo wao la sivyo wafungwe jela kwa mwezi moja.
Akitoa hukumu hiyo, Jaji, Hellen Wasilwa amesema kuwa viongozi hao walikiuka sheria kwa kukosa kufika mahakamani jinsi walivyoagizwa na hivyo kuitoiheshimu mahakama.
Tayari serikali za kaunti zimeanza kuwaandikia barua madaktari wanaogoma wakitakiwa kueleza sababu za kuhisi kwamba hawafai kuchukuliwa hatua kwa kukataa kurejea kazini.
Madaktari wa Kaunti ya Nairobi, wana siku saba kufanya hivyo kabla ya hatua kuchukuliwa dhidi yao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.