×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

John Baraza alieyestaafu sasa ni naibu mkufunzi wa Sofapaka

4th February, 2016

Mapema mwaka huu, John Baraza aliamua kustaafu kucheza kandanda na kujiunga na benchi la kiufundi kama naibu mkufunzi wa klabu ya sofapaka. Baraza ambaye alikuwa mshambuliaji mahiri amefunga mabao zaidi ya 150 katika vilabu alivyochezea humu nchini na pia timu ya taifa na kushinda mataji kadhaa.
.
RELATED VIDEOS