The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Benki ya Cooperative imekuwa ya kwanza kutangaza viwango vipya vya riba kufuatia sheria mpya ya kudhibiti riba ya mikopo inayotolewa na benki. Afisa Mkuu Mtendaji wa benki hiyo, Gideon Muriuki amesema Cooperative haitawatoza wateja wake riba inayopita asilimia 14.5 kuanzia sasa.
Haya yanajiri huku chama cha wahasibu, ICPAK kikiwashauri washikadau katika sekta nzima ya benki kufanya mabadiliko kuhusu viwango vya riba. Aidha chama hicho kupitia Mwenyekiti wake, Fernades Barasa kimeitaka serikali kuandaa sheria itakayodhibiti mashirika mengine ya kutoa mikopo kama vile vyama vya ushirika na watu binafsi kwa Kiingereza Shylocks.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.