Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Benki ya Co-operative yatia sheria mpya kuhusu riba

Na, Mike Nyagwoka

Benki ya Cooperative imekuwa ya kwanza kutangaza viwango vipya vya riba kufuatia sheria mpya ya kudhibiti riba ya mikopo inayotolewa na benki. Afisa Mkuu Mtendaji wa benki hiyo, Gideon Muriuki amesema Cooperative haitawatoza wateja wake riba inayopita asilimia 14.5  kuanzia sasa.
Haya yanajiri huku chama cha wahasibu, ICPAK  kikiwashauri washikadau katika sekta nzima ya benki kufanya mabadiliko kuhusu viwango vya riba. Aidha chama hicho kupitia Mwenyekiti wake, Fernades Barasa kimeitaka serikali kuandaa sheria itakayodhibiti mashirika mengine ya kutoa mikopo kama vile vyama vya ushirika na watu binafsi kwa Kiingereza Shylocks.
 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902