Hoja za Wahariri Podcast; Mahakama Kuhusu BBI
Hoja za Wahariri
May. 15, 2021
Suala la majaji watano wa Mahakama Kuu kuharamisha mchakato wa kuifanyia katiba marekebisho limechochea gumzo. Aidha, walisema kwamba Rais Kenyatta alikosea katika kuanzisha mchakato wa kuirekebisha katiba badala ya kuanzishwa na wananchi, vilevile kwamba anaweza kushtakiwa. Je, huo ulikuwa uamuzi wa kisheria au kisiasa? Wahariri wetu, Geoffrey Mung'ou, Zubeida Koome na mwanahabari nguli, Duncan Khaemba wamelizamia suala hili kwa kina.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Rabies-like disease in sheep & goats | Farming Podcast
Coenurosis is a disease of the central nervous system in sheep, caused by Coenurus cerebralis, the l...Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS
Shule zinapofunguliwa kwa masomo ya muhula wa pili, Sepetuko inairai serikali kuangazia masuala kadh...LATEST PODCAST
-
Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
-
MARTHA KARUA: Ruto's Is Trying To Prevent The People of Mt. Kenya From Coming Together.
-
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi