Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mwanahabari mstaafu wa kimataifa, Abdu Mtullya anasema vita vya Urusi na Ukraine havistahili na huenda vikaathiri zaidi uchumi duniani, ikiwamo Afrika. Vita hivyo vimesababisha kupanda kwa bei ya mafuta, Urusi ikiendelea kurusha makombora katika ngome za Ukraine, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu mwaka wa 2014.

Share this episode
Rabies-like disease in sheep & goats | Farming Podcast
Coenurosis is a disease of the central nervous system in sheep, caused by Coenurus cerebralis, the l...
Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
Join us on this week's episode of 'In Case You Missed It' as we delve into pressing issues and inspi...
.
RECOMMENDED NEWS