Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Hoja za Wahariri
Jan. 20, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Dunia inazidi kushangazwa na suala la mili zaidi ya 20 kupatikana ndani ya magunia katika Mto Yala. Mili hiyo ina alama na ishara za mateso. Je, waliouliwa ni akina nani na sababu za kuuliwa ni gani? Aidha, twajadili siasa za OKA vilevile usajili wa wapigakura wapya. Ali Manzu anawashirikisha wanahabari, Shisia Wasilwa na Kennedy Wandera katika kudadavua masuala haya.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Share this episode