HOJA ZA WAHARIRI PODCAST; Kura ya maamuzi itafanyika? Maendeleo ni ya kibaguzi? Mung'ou, Zubeida na Odeo wanachanganua
Hoja za Wahariri
Jun. 03, 2021
Wakati wa maadhimisho ya Madaraka jijini Kisumu, Rais Kenyatta aliilaumu Idara ya Mahakama kwa maamuzi aliyotaja kuchelewesha utashi wa mwananchi na kuzidisha gharama, mfano kurudia uchaguzi. Je, anakandamiza uhuru wa mahakama? Suala jingine ni iwapo kura ya maamuzi itafanyika au la kwa kuzingatia kesi za kuipinga. Na je, Uhuru anatekeleza maendeleo kwa ubaguzi? Wahariri, Geoffrey Mung'ou, Zubeida Koome na Odeo Sirari wanachambua masuala haya.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Rabies-like disease in sheep & goats | Farming Podcast
Coenurosis is a disease of the central nervous system in sheep, caused by Coenurus cerebralis, the l...Crisis Management: Is Ksh 10,000 Enough? Exploring Flood Relief Efforts
Join us on this week's episode of 'In Case You Missed It' as we delve into pressing issues and inspi...LATEST PODCAST
-
Shaping Tomorrow: The 7th Annual Africa Conference on Social Entrepreneurship at Tangaza University
-
Mipango ya Kupambana na Ufisadi Kutoka Fiji hadi Kenya: Kesi ya Frank Bainimarama
-
MARTHA KARUA: Ruto's Is Trying To Prevent The People of Mt. Kenya From Coming Together.
-
Sakata ya mbolea ghushi: Kesi ya Waziri Mithika Linturi
-
Special Boxing Podcast