Hoja za Wahariri Podcast: Raila ni chaguo la Uhuru, huku siasa zikichacha Mlima Kenya
Hoja za Wahariri
Aug. 13, 2021
Rais Uhuru Kenyatta amewasihi wanasiasa wa One Kenya Alliance kumuunga mkono Raila Odinga kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022, huku pendekezo lake likikataliwa vikali na wanasiasa hao. Aidha, wanasiasa mbalimbali wanazidi kujitokeza kwenye eneo la Mlima Kenya wakishindania udhibiti wa siasa za eneo hilo, Uhuru anapoelekea kustaafu. Je, kati ya William Ruto na Raila Odinga, ni nani atakayenufaika katika siasa za Mlima Kenya na ni nani atakayepoteza? Eneo la Mlima Kenya litaamua siasa za 2022? Wawaniaji wa urais wawateue wagombea wenza kutoka maeneo gani ya nchi? Mhariri, Geoffrey Mung'ou na wanahabari wa Standard - Chris Thairu na Mike Nyagwoka wanayapambanua masuala haya.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Rabies-like disease in sheep & goats | Farming Podcast
Coenurosis is a disease of the central nervous system in sheep, caused by Coenurus cerebralis, the l...Why is the Finance Bill 2024/2025 The Talk of Town?
Welcome to the latest episode of the "In Case You Missed It" podcast! Join us as we discuss the hotl...LATEST PODCAST
-
Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?
-
WILLIS OTIENO: Kenya Kwanza Leaders Wear Gucci and Balenciaga While Kenyans Suffer
-
Building a Billion-Dollar Future: The Inspiring Journey of Mary Njoki, Founder of Glass House PR
-
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
-
60 Years of Kenya-US Diplomatic Relations???? - Amb. Meg Whitman