Uchumi na Biashara Podcast; Usidharau Mutura, inanipa mapato tosha

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mutura ni mojawapo ya kitoweo kinachopendwa na wengi, mutura huuzwa nyakati za jioni jioni, wateja wakisema utamu wake ni giza, vumbi na kutojua unakula nyama ya nini hasa. Mutura ni mchanganyiko wa vipande vipande vya nyama, wenyewe huita sausage ya watu wa kawaida. Caleb Kimtai, mfanyabiashara mjini Makutano Kaunti ya Pokot Magharibi amezungumza na mwanahabari wetu Moses Kiraese na anakiri kuwa japo baadhi hudharau mutura, anajua siri ni nini kwani kupitia mutura, anakimu familia yake na pia ametekeleza miradi mbalimbali nyumbani kwao

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS