Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Licha ya serkali kuahidi kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wadogo wadogo, bado mahangaiko yanashuhudiwa mwezi mmoja baada ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi. Wengi wa wafanyabiashara hao wanalalamikia kuongezwa kwa bei ya mafuta, na kusababisha hasara katika sekta ya matatu. Charles Macharia, mhudumu wa teksi na Jimmy Mwangi, mhudumu wa matatu wanatishia kugura biashara hii. Mwanahabari wetu Edwin Mbugua amefanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara hao katika Kaunti ya Nyeri.

Share this episode
Mlinzi wa Binafsi Aliyeponea Kifo | Kisa Changu Podcast
Bernard Kibet amekuwa bawabu kwa zaidi ya miaka kumi. Japo kazi hii imemwezesha kuilisha familia yak...
Epilepsy: Here Is All You Need To Know
In this Health and Wellness Podcast episode, host Zaitun Ali interviews Dr. Bryan Tabani, Chief Clin...
.
RECOMMENDED NEWS