Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast
Uchumi na Biashara
Dec. 11, 2022
Baadhi ya kampuni za uagizaji na uuzaji wa magari nchini zimebadili mwelekeo na sasa zinajitosa katika uagizaji wa magari yanayotumia umeme. Kampuni ya hivi punde kufanya hivyo ni ya BasiGo na ya kwanza kuagiza mabasi 15 ya umeme ambayo yalitengenezwa na Kampuni ya BYD Automotive iliyo nchini Uchina. Mabasi haya tayari yamewasili nchini kupitia Bandari ya Mombasa na yanatarajiwa kutoa huduma za uchukuzi jijini Nairobi. Lakini je, mbona wafanyabiashara waanze kufuata muelekeo wa uagizaji wa magari ya umeme? Robert Menza amewahoji baadhi ya washikadau katika sekta hiyo
RELATED EPISODES
Kuvuma kwa Utalii Krisimasi na Mwaka Mpya | Uchumi na Biashara Podcast
Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast
Gen Z with children in Campus
The greatest fear of any female campus student is a pregnancy she hadn't planned for Society making...School Reopening Confusion & Rainy Season Woes
Welcome to this week's episode of the In Case You Missed It Podcast! On today's show, we'll explore ...LATEST PODCAST
-
Kilio cha Mfanyakazi Mkenya
-
Navigating the Deluge: Insights on Floods & Landslides
-
Why I Proposed Amendment Bill To Introduce Term Limits On Union Officials - Eddy Oketch
-
From High-Flying Banker to Healing Pioneer: The Story of Harriet's Botanicals Founder Harrier Chebet
-
Janga la Mafuriko: Msaada wa Dharura Unahitajika!