Uchumi na Biashara Podcast; Kenya haina deni la shilingi trilioni 8.47, asema Jimmy Wanjigi

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mfanyabiashara Jimmy Wanjigi sasa anapinga kwamba taifa lina deni la shilingi trilioni 8.47 jinsi ilivyochapishwa na Benki Kuu-CBK. Kulingana na Wanjigi, deni ni chini ya trilioni 3. Pia amedai fedha za mikopo ya ndani kwa ndani-domestic debts hazikutumika katika miradi ya serikali badala yake kuibwa.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
From High-Flying Banker to Healing Pioneer: The Story of Harriet's Botanicals Founder Harrier Chebet
Welcome to the What's Your Story podcast, where your host Catherine Mwangi engages in captivating co...
.
RECOMMENDED NEWS