Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mudavadi: Wakenya 400 watapeliwa kazi ughaibuni

Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi akikutana na maafisa wa ngazi za juu wa maswala ya mambo ya nje. [Kwa hisani ya X]

Kenya imepiga kengele ya tahadhari kuhusu kuongezeka kwa visa vya usafirishaji haramu wa raia wake kuelekea Asia ya Kusini Mashariki, ikilitaja eneo hilo kama tishio ambako watu wanaotafuta ajira wanadanganywa na kuishia katika mitandao ya ulaghai wa mtandaoni na ajira za kulazimishwa.

Akizungumza na wanahabari jijini Nairobi, Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje, alisema takribani Wakenya 400 wamekumbwa na mtego huo wa mawakala wa uajiri wasio waaminifu wanaotoa ahadi za kazi zenye malipo makubwa nchini Vietnam, Urusi, Cambodia na Myanmar, lakini mwishowe hujikuta katika hali aliyoielezea kama "aina ya utumwa wa kisasa."

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News