The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi akikutana na maafisa wa ngazi za juu wa maswala ya mambo ya nje. [Kwa hisani ya X]
Kenya imepiga kengele ya tahadhari kuhusu kuongezeka kwa visa vya usafirishaji haramu wa raia wake kuelekea Asia ya Kusini Mashariki, ikilitaja eneo hilo kama tishio ambako watu wanaotafuta ajira wanadanganywa na kuishia katika mitandao ya ulaghai wa mtandaoni na ajira za kulazimishwa.
Akizungumza na wanahabari jijini Nairobi, Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje, alisema takribani Wakenya 400 wamekumbwa na mtego huo wa mawakala wa uajiri wasio waaminifu wanaotoa ahadi za kazi zenye malipo makubwa nchini Vietnam, Urusi, Cambodia na Myanmar, lakini mwishowe hujikuta katika hali aliyoielezea kama "aina ya utumwa wa kisasa."
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.