Mwanamume mwenye umri wa miaka 45 amefungwa jela kwa miaka 45 baada ya kukiri kosa la kumnajisi mtoto wa miaka miwili.
Mahakama imeambiwa kuwa Erasus Kariuki mwenye umri wa miaka 39, alikuwa kanisani katika eneo la Zimmerman, Kaunti ya Nairobi ambapo alimfanyia unyama huo mtoto huyo.